New Video: King chiwah Ft. Hasna - Lover lover (Official Video )

Tazama hapa video mpya ya King chiwah"Lover lover"akiwa na Hasna

New Video: Linah - No Stress (Official Music Video)

Haya ni time yako sasa kuitazama video mpya ya Linah"No Stress"iliyofanyikia nchini Africa Kusini chini ya Dir-GodFather.

New Music: Edu Boy ft Barakah Dar Prince - Ni Wewe | Download

Sikiliza na Download hapa ngoma mpya ya Edu Boy "Ni Wewe"akiwa amemshilikisha Barakah Dar Prince.

New Video: Yemi Alade - Duro Timi (Official Video)

Music video by Yemi Alade performing Duro Timi. Yemi Alade

iTunes link: https://itunes.apple.com/us/album/dur...

2015 MTV Africa Music Awards "Best Female" award winner Yemi Alade premieres the music visual for "Duro Timi"; a Sizzle Pro produced emotive ballad sheltered on her acclaimed debut album "King of Queens".

Directed Ovié Étseyatsé and co-directed by Taiye Aliyu, the story-telling video was shot in London, United Kingdom. "Duro Timi" is a Yoruba phrase which means "Stay with Me" in English.

"Sometimes, love can pass you by while you're busy making plans."

(C) 2015 Effyzzie Music Group

BASATA imemfungia Shilole mwaka mmoja, hakuna kufanya muziki


Breaking news zilizoifikia  saa nne usiku wa July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) ni kwamba baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka pia October 2013 BASATA lilikuonya na ukakiri kwa kuomba msamaha tabia yako ya kucheza bila kuzingatia maadili uwapo jukwaani, BASATA ilikupa nafasi ya kutoa maelezo kwanini usichukuliwe hatua za kinidhamu kwa kitendo chako lakini umekaidi kutoa maelezo yako‘ – BASATABaraza limejiridhisha kwamba ulikiuka maadili ya kazi ya sanaa kwenye onyesho lako huko Ubelgiji makusudi na umekiuka sheria kwenye ibara ya 30 (2) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa kuvunja maadili ya jamii ya Mtanzania hivyo baraza linakusimamisha kujishughulisha na kazi za sanaa nchini na nje ya nchi kwa mwaka mmoja, kufanya kinyume na hayo kutapelekea kupewa adhabu zaidi pamoja na yeyote utakaeshirikiana nae ‘ – BASATA

New Video: Ramso Ramsey ft. Barnaba – Wangu (Official Video)

Tazama hapa video mpya ya Ramso Ramsey"Wangu"akiwa na Barnaba.Imefanyika katika studio za KIRI RECORD chini ya producer RASH DON

New Video: Mirror - Hapo Ulipo (Official Video)

Mirror anakuletea video yake mpya iitwayo"Hapo ulipo"unaweza kuitazama sasa hapo chini mtu wangu...

New Music: Linah - No stress | Download

Linah ameachia rasmi ngoma yake mpya "No Stress"unaweza sasa kubofya hapo kuisikiliza na kudownload..

New Video: Hemedy Phd - Imebaki Story (Official Video)

Mwimbanji wa bongo fleva na muigizaji wa bongo Movie Hemed PHD ametubariki na video yake mpya iliyofanyika mikoa tofauti ambayo ni Dar es salaam ,Morogoro, Arusha kwenye maeneo ya ziwa Duluti Tengeru na Manyara. Video inaitwa  Imebaki Story na imetayarishwa na Msafiri Shabani.Edited by Adam Juma.
Bonyea play kuitazama.

New Music: Young Dee Ft. Ben Pol - Do It | Download

Ngoma mpya ya Young Dee "Do It"Akiwa na Ben Pol Unaweza kuisikiliza na kudownload hapa

New Music: Young Killer feat Maua Sama - Do Fo Me | Download

Hii hapa ngoma mpya ya Young Killer"Do For Me"akiwa na Maua Sama.Isikilize hapo

New Music: Hemedy P.H.D - Imebaki Story | Download

Download na sikiliza hapa ngoma mpya ya Hemedy P.H.D iitwayo "Imebaki Story"

Video: Rais Obama akicheza wimbo wa Sauti Sol Kenya.

Picha ya pamoja ya Sauti Sol na Barack Obama
Rais wa Marekani Obama yuko nchini Kenya kwenye ziara ya siku tatu ambapo pia amekutana na ndugu zake akiwemo dada yake na Bibi yake. Obama ni mcheshi sana na mtu anaependa vituko vya hapa na pale..Katika halfa iliyofanyika leo Kundi maarufu la muziki nchini Kenya Sauti Sol lilipata mualiko maalum kutumbuiza katika hafla hiyo…Obama aliweza kushiriki katika kucheza nyimbo ya Sura yako…hebu cheki video hapa chini….

New Music: BobManecky ft Jux & Ruby - Sisikii{Extended} | Download

Sikiliza na download remix ya Sisikii ya Jux ikwa imerudiwa na Bobmaneck na Ruby.

Sasa Ni zamu Ya Collabo Ya Davido na Allykiba kwenye track moja

Star Kutoka Nigeria ambaye pia ni mshindi wa Tuzo ya MTV mama  Best Male Davido anayetamba na track aliyomshirikisha Meek mill - Fans Mi anatarajia kuachia kollabo ambayo alitangaza kuwa itamhusisha mkali mwingine toka Tanzania Allykiba
 BOFYA HAPA KUTAZAMA VIDEO YA DAVIDO AKIFANYA MAHOJIANO

Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine Afrika Kusini ‘African Achievers Awards’.

Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini, Tuzo aliyoshinda Diamond ni ya Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’.Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini, Tuzo aliyoshinda Diamond ni ya Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’.

“Nana” ya Diamond na “Chekecha” ya Ally Kiba katika Top 10 ya Radio maarufu ya Nigeria.


Muziki wa Tanzania unaendelea kufika mbali zaidi kwa kutoa wasanii wakubwa wanaofanya vizuri kama Diamond Platnumz. Ally Kiba ni mmoja ya wasanii kutoka Tanzania ambae anafanya vizuri kwa sasa na nyimbo yake ya Chekecha.
King-Kiba
ALI KIBA
Nyimbo ya Chekecha inaendelea kufanya poa Afrika baada ya kuingia katika Top 10 za Radio maarufu ya Nigeria iitwayo THE BEAT 99.9FM, chekecha katika wiki hii imeshika nafasi ya tisa.
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Katika chart hiyo ya “Nana” ya Diamond aliyomshirikisha Mr Flavour imekamata nafasi ya pili katika wiki hii…Big up Ally Kiba na Diamond Platnumz kwa kuendelea kutuwakilisha vizuri kimataifa.

Hemedy kuachia video yake mpya "IMEBAKI STORY"wiki ijayo tar July 30 2015

Video hiyo imefanyika hapa hapa Tz katika maeneo mbali mbali ikiwo Morogoro,Manyara,Arusha na Dar es Salaam.Video hiyo imegarimiwa milioni 15 na imeongozwa na Kwetu Studio.
Vanessa Mdee na Nisher wampongeza Hemedy kwa uthubutu anaofanya msani huyo.Hii ni post ya Dir-Nisher,
Kaa tayari kupokea ngoma hiyo....

New Music: Shilole & Nuh Mziwanda [Shiwonder] - Ganda La Ndizi | Download

Shishi Baby na baby wake Nuh Mziwanda wanakuletea ngoma mpya iitwayo"GANDA LA NDIZI"Unaweza kuisikiliza na kudownload hapo.

New Video: Navy Kenzo Feat. Vanessa Mdee - Game (Official Music Video)

Video mpya ya Navy Kenzo "GAME"Waliyomshilikisha mwanadada anayefanya vizuri Vanessa Mdee imetoka.Video directed by Justin Campos of Gorilla Films,Unaweza kuitazama hapo..

New Music: Rossie Ft. Joh Makini - Do It | Download

Sikiliza na Download hapa ngoma mpya ya Rossie "Do It"akiwa amemshilikisha Joh Makini.

New Music: Navy Kenzo Ft. Vanessa Mdee - Game | Download

Sikiliza na download hapa ngoma mpya ya Navy Kenzo"Game"wakiwa na V.Money(Vanessa Mdee).

Wema Sepetu ashindwa vibaya kwenye kura za maoni singida viti maalumu…

Wema sepetu ni mmoja ya wasanii waliochukua fomu ya kugombea ubunge viti maalum singida, Leo ilikuwa ni siku ya upigaji wa kura za maoni ambapo Wema Sepetu amekuwa wa mwisho katika matokeo.

New Video: D’banj ft Ice Prince – Salute (Official Video)

MAMA Evolution winner D’banj is giving us hits after hits now and am seeing a major comeback here for the Nigerian music mega superstar. We gave you the audio for Salute featuring Ice Prince Zamani some days ago and finally you get to watch the official video for the single.

New Video: P The MC Ft Young Killer & Dully Sykes – Run Dsm(Official Video)

Tazama hapa video mpya ya P The MC"Run Dsm"akiwa na Young Killer & Dully Sykes.

New Video: Victoria Kimani – Two of Dem (Official Video)

Tazama hapa video mpya ya Victoria Kimani "Two of Dem"

New Video: Donald & Diamond Platnumz - Wangu (Official Music Video)

Kama ulipitwa na video mpya ya Donald na Diamond Platinumz "WANGU"unaweza kuitazama hapa.

New Music: Mr Blue - Changamoto | Download

Sikiliza na download ngoma ya Mr Blue"Changamoto"iliyotayarishwa na Prod-Shady Clever.

Video: Lady Kwilega - Ndoa za Uswazi (Official Video)

Tazama video hii ya Lady Kwilega anakwambia "NDOA ZA USWAZI"

Ramadhani Masanja Banza Stone afariki dunia mchana huu..kaka wa marehemu Hamiss Masanja amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.....

Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia mchana huu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaka wa marehemu aitwaye Hamis amethibisha msiba huo.
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Banza alikuwa anasumbuliwa na fangasi waliokuwa wanamshambulia kichwani (ubongo) na shingoni.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN

New Music: B.O.B Micharazo - Kazi Kwanza | Download

B.O.B Micharazo wameachia ngoma mpya iitwayo"KAZI KWANZA" ndani ya kundi hili kuna Mr Blue, Nyandu Tozzy, Becka Tittle, Blood Gazza, Baby MC, Uswege master, Cotton, Ivason.Unaweza kuisikiliza hapo..

New Video: Jidenna ft Kendrick Lamar – Classic Man (Official Video)

Preorder "Wondaland Presents: The Eephus" at iTunes: http://smarturl.it/TheEephus

Diamond Platnumz Ametajwa Tena Kuwania Tuzo Hizi Za Nchini Marekani.

Wakati Watu wakiwa na hamu ya kupata matokeo ya tuzo za MTV ambazo Diamond ni mmoja wa washiriki  katika Tuzo hizo  Diamond anazidi Kupata nafasi  zaidi baada ya kutajwa katika tuzo za African Entertainment Awards za Nchini Marekani.
 Diamond amekuwa nominated katika vipengele  viwili ambavyo ni Hottest Male(Msanii bora wa kiume) na Single Of The Year(wimbo bora wa Mwaka-Ntampata Wapi).

Diamond amepost katika mtandao wa Instagram akitoa shukran zake...ameandika "Naomba niwashkuru wadau na Mashabiki zangu wote kwa support kubwa mnayozidi kunipa... Niwashkuru wote mlokuwa Mkihamasisha na kupiga kura katika tunzo za #Mtvmama2015 Hakika ni upendo Mkubwa..kijana wenu now nimetua South Africa tayari kwajili ya Kujiandaa kwa show nk... ila pia wakati nimetua nimekutana na Habari nyingine nzuri...kuwa Nimechaguliwa kwenye Tunzo za Marekani ziitwazo @AfricanEntertainmentAwards Kama Msanii Bora wa Kiume Africa na Nyimbo bora ya Africa #NtaMpataWapi Hii ndio Account yao @AfricanEntertainmentAwards Ntawajuza namna ya Kupiga kura Soon".

New Video: B.O.B Micharazo – Kazi Kwanza (Official Music Video)

Brand New Video By B.O.B Micharazo Artist: Mr Blue, Nyandu Tozzy, Becka Tittle, Blood Gazza, Baby MC, Uswege master, Cotton, Ivason

New Video: Real Jofu Ft. Ney Lee - Kumbe ni Ndugu (Official Video)

Video mpya ya Real Jofu"Kumbe ni Ndugu"Akiwa amemshilikisha mwanadada  Ney Lee imetoka..Sasa unaweza kuitazama hapo..

Cooming Soon: G-Nako feat Nikki Wa Pili - Laini

Kaa tayari kuipokea ngoa mpya ya G-Nako iitwayo"LAINI"akiwa amemshilikisha Nikki wa Pili.Endelea kutembelea hapa.

New Video: Galatone - Sina Mali (Official Music Video)

Watch and share the brand new music video "Sina Mali" by Tanzania bongo flava artist Galatone.
Director - Allen Massala | Studio - Chaiderz Records
Producer - Christone | Kapasta4real_Project
FITNER AFTER FITNER_TZ

New Video: Sefiya ft. Iyanya – Nwayo Nwayo"Remix" (Official Video)

Tazama hapa Video mpya ya msanii kutoka Nigeria Mwanadada Sefiya akimshirikisha Iyanya wimbo unaitwa “Nwayo Nwayo (Remix)”

New Video: Nay Wamitego - Sina Muda (Official Video)

Nay Ameachia rasmi video yake mpya"SINA MUDA"unaweza kubofya hapo kuitazama sasa....

New Video: Tunda Man - Tufungeni na Kuswali (Official Video)

Tunda Man ameachia video ya "Tufungune na Kuswali"iliyoongozwa na Director_ABYKAZ.Bofya hapo kuitazama sasa...

NEW VIDEO: H 4 SURE FT. TUNDA MAN - MAPENZI YA TAMAA (OFFICIAL VIDEO)

Tazama video mpya ya H 4 SURE"MAPENZI YA TAMAA"akiwa na TUNDA MAN

New Video: Mesen Selekta - Sweet Love (Official Video)

Mesen Selekta anakuletea video yake mpya ya nyimbo iitwayo"Sweet Love"Video hii imeongozwa na directed Ivan (Shine Studioz).Itazame hapo..

New Music: Matonya - Visa | Download

Sikiliza na download hapa ngoma mpya ya Matonya"VISA"

New Music: Nonini Feat Chege Chigunda - Kukachora | Download

Sikiliza na download hapa ngoma mpya ya Nonini"Kukachora"akiwa na Chege Chigunda..

New Video: Iyanya - Applaudise (Official Video)

Baada ya kudondosha video ya Nakupenda alioshirikiana na Bongo Superstaa Diamond Platnumz,Msanii maarufu kutoka Nigeria Iyanya leo hii amerudi na kichupa kipya.Wimbo unaitwa  Applaudise na hapa chini nimekusogezea video yake. Bonyeza play kuitazama.

Picha,Diamond Platnumz akibusu tumbo la Zari, natamani mjue jinsi navyompenda Zari.

Staa wa ‘Nana’ Ft Mr Flavour Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa anatamani watu wajue jinsi anavyompenda Zari Tlale aka Zari The Boss Lady.
Kama wewe ni shabiki basi ni hii ni nafasi yako ya kujua kuwa wapenzi hawa wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza mwezi ujao.