Audio | Raymond WCB New Freestyle | Mp3 Download
Video Tears: Ommy Dimpoz ft Ali Kiba - Beautiful
Pamoja na kumtambulisha Nedy siku si nyingi tutegemee bonge moja la kolabo kati ya Ommy Dimpoz na Ali Kiba. Ndio! Ni huyu huyu Kiba mshindani mkubwa wa Diamond Platnumz. Tumepata Exclusive video ya Ommy Dimpoz na Ali kiba wakiwa studio wakirecord wimbo wao huo. Skiliza kionjo kidogo cha wimbo huo hapa chini kwenye video.
Audio | Nyandu Tozzy Ft. Cliff Mitindo, Deddy & Gosby - Kiboko ya Mabishoo | Mp3 Download
Audio | Nyandu Tozzy Ft. Cliff Mitindo, Deddy and Gosby - Kiboko ya Mabishoo | Mp3 Download
Haya Hapa Majina Ya Kambi Zote 11 Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliopangiwa JKT 2016
1.Rwamkoma Jkt......<<bonyeza Hapa>>
2.Mafinga Jkt .....<<bonyeza Hapa>>
3.Makutupora Jkt.......<<bonyeza Hapa>>
4.Mtabila Jkt......<<bonyeza Hapa>>
5.Kanembwa Jkt.....<<bonyeza Hapa>>
6.Bulombora Jkt.....<<bonyeza Hapa>>
7.Ruvu Jkt.......<<bonyeza Hapa>>
8.Mgambo Jkt ......<<bonyeza Hapa>>
9.Maramba Jkt......<<bonyeza Hapa>>
10.Mlale Jkt.....<<bonyeza Hapa>>
11.Msange Jkt.....<<bonyeza Hapa>>
Alikiba awaomba mashabiki kumpigia kura Diamond
Alikiba amewaomba watanzania kumpigia kura Diamond anayewania tuzo ya BET zitakazofanyika, Juni 26 Los Angeles, Marekani.
Wiki iliyopita Diamond alitangazwa kuwania tuzo ya BET kwa mara ya pili kwenye kipengele cha Best International Act: Africa akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki huku tuzo hiyo ikiwaniwa na wasanii wengine kama Wizkid, Yemi Alade, AKA, Cassper Nyovest, Black Koffie, MZVEE na Serge Beynaud.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Alikiba aliwaomba watanzania wampigie kura Diamond kwenye tuzo anazoshiriki za BET na kusema kuwa yeye ndiye msanii pekee anayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano hayo hivyo watanzania wampigie kura ili aweze kushinda.
“Of course nawasupport wote ndiyo, vote for Diamond kwenye tuzo za BET kwa sababu yeye ndiyo anayetuwakilisha,” alisema Alikiba.
Alikiba kwa sasa ni msanii aliye chini ya label ya Sony Music na wimbo wake mpya ‘Aje’ unafanya vizuri kwenye TV na Redio japo una siku tano tu tangu utoke, May 19.
Wiki iliyopita Diamond alitangazwa kuwania tuzo ya BET kwa mara ya pili kwenye kipengele cha Best International Act: Africa akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki huku tuzo hiyo ikiwaniwa na wasanii wengine kama Wizkid, Yemi Alade, AKA, Cassper Nyovest, Black Koffie, MZVEE na Serge Beynaud.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Alikiba aliwaomba watanzania wampigie kura Diamond kwenye tuzo anazoshiriki za BET na kusema kuwa yeye ndiye msanii pekee anayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano hayo hivyo watanzania wampigie kura ili aweze kushinda.
“Of course nawasupport wote ndiyo, vote for Diamond kwenye tuzo za BET kwa sababu yeye ndiyo anayetuwakilisha,” alisema Alikiba.
Alikiba kwa sasa ni msanii aliye chini ya label ya Sony Music na wimbo wake mpya ‘Aje’ unafanya vizuri kwenye TV na Redio japo una siku tano tu tangu utoke, May 19.
Adele (Official Video) – Send My Love (To Your New Lover) | Download MP4
Adele (Official Video) – Send My Love (To Your New Lover) | Download MP4
If you missed to download audio of this song, Download it downhere
Subscribe to:
Posts (Atom)