Video: Skales Ft. Banky W (Official Video) - No Body Business | Mp4 Download
Hii ni video mpya ya Skales akimshirikisha Banky W, Wimbo unaitwa No Body Business, Tazama na Kupakua hapa:
Video: Patoranking Ft. Sarkodie (Official Video) - No Kissing Baby | Mp4 Download
Patoranking kaachia video yake mpya akimshirikisha Sarkodie, wimbo unaitwa No Kissing Baby, Tazama na kuupakua hapa chini:
KAMA HAUJAPATA AUDIO YA WIMBO HUU BONYEZA HAPA CHINI:
Video: Utajiri wa Diamond umefikia shilingi bilioni 8.6
Kumekuwepo na tetesi nyingi kuhusu utajiri wa Diamond Platnumz umefikia
kiasi gani. Hilo ni swali ambalo hajawahi kulijibu kwa uhakika zaidi ya
kutoa tu hints na kuwaacha wanaouliza kubaki na majibu yao wenyewe
vichwani.
Lakini
kupitia kipindi maalum cha kituo cha runinga cha E!TV, E Vip
kilichorushwa Jumapili ya June 26, tunaweza kusema walau kwa uhakika
staa huyo ana utajiri mkubwa kiasi gani. Diamond ana utajiri wa dola milioni 4 za Kimarekani ambao kwa shilingi ya Tanzania ni zaidi ya bilioni 8.6.
Si kitu kinachoshangaza tena kwa Diamond kutokana
na hatua aliyofikia akiwa msanii anayelipwa fedha nyingi zaidi Tanzania
kwa sasa. Fedha zake nyingi zinatokana na show zake zisizokauka za
ndani na nje ya nchi, mikataba ya ubalozi na matangazo kutoka makampuni
kama Vodacom, Cocacola, DSTV na Red Gold. Hivi karibuni alipata deal jingine la kutangaza huduma ya taxi ya Uber.
Pia
amekuwa akiingiza fedha nyingi kupitia biashara ya nyimbo zake hasa
miito ya simu, malipo ya mirabaha kutoka nchi za jirani kama Kenya bila
kusahau biashara za mtandaoni zikiwemo Youtube.
Uwekezaji wake kwenye label ya WCB ni kitu kingine kikubwa ambacho kitaanza kumuingizia fedha nyingi siku za usoni. Hadi sasa amesaini wasanii wanne wakiwemo Rich Mavoko, Raymond, Harmonize na dada yake Queen Darleen.
Lakini
pia staa huyo anafahamika kwa kuwekeza zaidi fedha kwenye ardhi na
nyumba huku akidaiwa kumiliki maeneo mengi jijini Dar es Salaam.
Diamond Platnumz akosa tena Tuzo ya BET...Huyu ndie Mshindi wa Tuzo hii
Tuzo za BET katika kipengele cha Best Internation Act-Africa zimeshatolewa tayari na tuzo hii imeenda kwa Black Coffee.
Katika Tuzo hii Black Coffee alikuwa akishindina vikali na wababe wa Muziki wa Afika kwa sasa akiwemo Diamond Platnumz, Wizkid, Yemi Alade na Cassper Nyovest kutoka nchini Afrika ya kusini.
HUYU NDIE BLACK COFFEE
Katika Mtandao wa Instagram wa BET AFRIKA wamepost picha ya Black Coffee na kuandika "🎉🎊 Winner: Best International Act: Africa - Black Coffee #BETAwards16".
Bahati haikuwa kwetu, Hongera Pia kwa Diamond Platnumz japo hajashinda lakini ametuwakilisha vizuri sana katika kuufikisha Muziki wetu katika level ya Kimataifa.
New Video: Mr Blue Ft. Ali Kiba - Mboga Saba(Official Video) | Download Mp4
Mr Blue ameachia video yake mpya akimshirikisha Ali Kiba, Wimbo unaitwa Mboga Saba, Tazama na Kuipakua hapa chini:
New Video: Belle 9 (Official Video) - Burger Movie Self Remix | Download Mp4
Belle 9 amewakutanisha Izzo Business, G Nako, Maua Sama, Jux na Mr Blue katika video hii ya Burger Movie Self Remix, Tazama na kuipakua hapa chini:
Collabo ya Diamond na P Square imeiva, inatoka Muda wowote kuanzia sasa
#SimbaKasema, Ngoma ya Diamond na wakali wa Nigeria, P square inatoka muda wowote kuanzia sasa.
Diamond bado hajasema jina la wimbo huo lakini tayari ameanza kuupigia promo kwenye mitandao ya kijamii, Kupitia instagram, Diamond ameandika:
“My People!!!!!!!!! Subscribe to my Youtube Channel now so that you can be the first one to watch the HIT from SIMBA ft P-SQUARE!!!! (Najua unakiu kias gani….haya Jiunge na Channel yangu ya YOUTUBE sasa ili uwe mtu wa kwanza kushuhudia Mshine yangu Mpya Nilowashirikisha P-SQUARE! ) Cc @peterpsquare @rudeboypsquare #SimbaKaseMa”
Kwa upande mwingine meneja wake, Sallam ameahidi kuwa muda ambao Subscribers wa staa huyo kwenye channel yake ya Youtube watafika laki tano video hiyo itaachiwa muda huo huo, hadi sasa wapo 287,999.
Mashabiki wa staa huyo wameonesha shauku zaidi ya kuupokea mzigo huo mpya wa Diamond Feat. P square.
Diamond bado hajasema jina la wimbo huo lakini tayari ameanza kuupigia promo kwenye mitandao ya kijamii, Kupitia instagram, Diamond ameandika:
“My People!!!!!!!!! Subscribe to my Youtube Channel now so that you can be the first one to watch the HIT from SIMBA ft P-SQUARE!!!! (Najua unakiu kias gani….haya Jiunge na Channel yangu ya YOUTUBE sasa ili uwe mtu wa kwanza kushuhudia Mshine yangu Mpya Nilowashirikisha P-SQUARE! ) Cc @peterpsquare @rudeboypsquare #SimbaKaseMa”
Kwa upande mwingine meneja wake, Sallam ameahidi kuwa muda ambao Subscribers wa staa huyo kwenye channel yake ya Youtube watafika laki tano video hiyo itaachiwa muda huo huo, hadi sasa wapo 287,999.
Mashabiki wa staa huyo wameonesha shauku zaidi ya kuupokea mzigo huo mpya wa Diamond Feat. P square.
Audio | Belle 9, Izzo Bizness, Jux, Maua Sama, G-Nako & Mr.Blue - [Burger Movie Selfie Remix] | Mp3 Download
DOWNLOAD Mp3
Subscribe to:
Posts (Atom)