Tazama Picha: Sheta,Kcee, Nahreel, Joh Makini wapo Afrika Kusini
Wasanii Joh Makini, G Nako, Jux, V Money, Sheta na Nahreel wako nchini
Afrika Kusini wakufanya shughuli tofauti za muziki wao. Joh Makini
alionekana Studio na Rapa KO na kunauwezekano wa collabo kufanyika
ingawa alisema ni mapema sana kuongelea.
No comments:
Post a Comment
paulmkale