Hivi Karibuni Steve RnB Anatarajia kuachia wimbo mpya wa riddim ‘Pole Pole’

Kila mtu alipenda kile alichokifanya Steve RnB kwenye wimbo wake wa reggae ‘Jambo Jambo’ ambao beat yake ya riddim ilitumiwa na wasanii kibao wa Jamaica akiwemo Busy Signal na wimbo wake Missing You. Jambo Jambo ilivutia pia kufanyika kwa riddim zingine kutoka Bongo kutumia beat hiyo. Na sasa mkali huyo wa rnb anarejea tena na ngoma nyingine ya riddim iitwayo ‘Pole Pole’. Ngoma hiyo itatoka September 18.@paulmkale

No comments:

Post a Comment

paulmkale