Kaa Tayari;Endru G kuja Na Ngoma Mpya"Sholela"Hapo Kesho

paulmkale

Baada ya Kukaa Kimya Kwa muda Mrefu Sasa Endru G aje Kivingine na Kesho ndo mzigo inaingia maskioni Mwako.Ngoma inaitwa Sholela Iko Poa Sana na..> Amesema Hii ni zawadi kwa mafans wake Wote.+dj paul

Sholela inamhusu msichana mapepe asiyetulia ambaye alikuwa Dem wa Endru G ila Tamaa zilimponza na kujikuta anaingia kwenye Penzi la Muosha Magari akijua ni Pedeshee kumbe lofa.
Zaidi Subiri Kesho.Ni shidaaaaaah.

No comments:

Post a Comment

paulmkale