KALA JEREMIAH kuzindua “USIKATE TAMAA” Video pamoja na Audio Jumapili hii ndani ya NEW MAISHA CLUB

Wimbo mpya wa msanii wa Hip Hop nchini Kala Jeremiah akishirikiana na msanii mkongwe wa R&B anajulikana kwa jina la Nuruwell unatarajiwa...> kuzinduliwa rasmi siku ya Jumapili tarehe 23 mwezi huu wa 11 pale New Maisha Club ya hapa Dar. Kala anasema watu watakaofika siku hiyo ndio watakuwa watu wa kwanza kusikiliza wimbo huo na kuona video ya wimbo huo, uzinduzi huo utasindikizwa na wasanii wakali kama BEN POL, STAMINA, MO MUSIC, NEY LEE pamoja na NURUWELL.

NJOO UWE WA KWANZA KUSIKIA NA KUONA UJIO MPYA WA KALA JEREMIAH

No comments:

Post a Comment

paulmkale