So Hemedy PHD amesema nyimbo gani 5 za Afrika Mashariki ni bora kwake?
Tunamfahamu kupitia single zake kwenye kiwanda cha muziki bongo
lakini pia movie zake kwenye kiwanda cha movie Tanzania, Hemedy PHD ni...>
miongoni mwa mastaa wa bongo ambao huwa hawaoni soo kuandika yao ya
moyoni kwenye mitandao ya kijamii.
Aliichukua time yake kuandika kwenye twitter ni single gani za muziki
wa Afrika Mashariki ambazo ni bora kwake ambapo kwenye list hiyo ni
msanii mmoja tu ambae amechukua nafasi mbili kati ya watano
waliochaguliwa.
Namba 1 ni Nipo ya Mr. Blue 2. Queen ya Longombas wa Kenya 3. Where
you are – Blue 3 wa Uganda, 4. Tabasamu ya Mr. Blue na ya tano ni Run
dunia ya Ali Kiba.
No comments:
Post a Comment
paulmkale