Wakati Weusi wakiwa Arusha,Hii ni hapa Dar usiku wa leo inaitwa Instagram Party.
Watu wangu wa A Town najua mnajipanga panga kwa ajili ya party ya
nguvu kutoka kwa Weusi ambao wameamua kuanzia nyumbani kwenye....> tour
yao,Nikki wa pili,G Nako,Joh Makini,Bonta na Lord eyes watakuwa kwenye
jukwaa moja.
Instagram Party Hii ni party nyingine ambayo imekua ikiwakutanisha
wale members wa Instagram na ambao hawajajiunga na mtandao huu kukutana
na kushare story kadhaa kwenye usiku mmoja.@paulmkale.com
Dar es salaam ni mara ya 3 kufanyika kwa party hii,mikoa mingine
iliyoenda party hii ni pamoja na Mbeya na Mwanza,hii inafanyika Escape
One pembeni kabisa ya bahari ya hindi,karibu tukutane tupige picha na
story.
No comments:
Post a Comment
paulmkale