Tuzo Walizoshinda @VanessaMdee Na @diamondplatnumz Zilizofanyika Nigeria.
Mtangazaji/Msanii Vanessa Mdee na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
wamewakilisha vizuri Tanzania kwa kushinda tuzo zingine kubwa Nigeria za
AFRIMA.
Vanessa ameshinda tuzo ya Best Female Artist in East Africa [Msanii bora wa kike Afrika Mashariki ] huku Diamond akishinda Tuzo Ya Best Male Artist in East Africa [ Msanii bora wa kiume Africa Mashariki] . Tuzo ya Diamond ilipokelewa na Peter Msechu ambaye pia alikuwa kwenye kuwania tuzo hizo.
Hongera kwao na Peter Msechu kwa kuwakilisha vizuri.
No comments:
Post a Comment
paulmkale