Young Killer kuitambulisha ‘MZU’ kwenye wimbo ‘Furaha Yetu’
Rapper Young Killer pamoja na familia yake ya ‘Matunzo Zero Unity’ wanatarajia kuachia wimbo wao wa kwanza.
Young Killer amesema kuwa wimbo huo ni kama zawadi kwa mashabiki na wengine wanaomuunga mkono.
“Wimbo nimefanya Mo Records ni studio ambayo Mwanza inafanya vizuri.
Imetoa ngoma nyingi, ngoma karibia zote za Bonta, ngoma za Nako 2 Nako
zile. Hii ngoma tumeimba watu wengi kutoka Matunzo Zero Unity. Kwahiyo
ni ngoma kwaajili ya mashabiki,” amesema.
“Matunzo Zero Unity ni kama familia ya mashabiki wa muziki wa Young
Killer na watu ambao wamesupport muziki wangu. Kwahiyo itaendelea kuwepo
milele na milele. Pia video itakuja ila tuanze kwanza na audio.”
No comments:
Post a Comment
paulmkale