New Video:Davido ft Uhuru & Dj Buckz - The Sound(Official Music Video)

Staa wa Nigeria David Adedeji Adeleke aka Davido ana hit nyingi tunazozijua Skelewu, Aye na ile Tchelete aliyofanya na wakali wa Mafikizolo, zote ni kali !

Karibu tena mtu wa nguvu fan wa Davido, amekuletea video ya single mpya inayoitwa ‘The Sound’ akiwa amewashirikisha Dj Buckz pamoja na kundi la Uhuru kutoka Afrika Kusini.

Iko hapa, bonyeza play kuenjoy hii #TheSound


No comments:

Post a Comment

paulmkale