Maswali
yamekua mengi sana vichwani kwa watu wengi wakijiuliza kuwa hii Mkata
mkaa ni kundi jipya?na kama ni kundi linaundwa na watu wangapi?na vipi
kuhusu Tip Top na Tmk Wanaume Family.
Temba
kutoka Tmk Wanaume family wameongea na kutoa ufafanuzi
juu ya jina hili>>’Wakata mkaa tunabaki pale pale ni watu
wanaofanya kazi ngumu sasa jiulize kama Mkata Mkaa amepata pesa yake
anataka kurudi zake kijijini halafu wewe unataka kumdhurumu inakuaje
hapo’
‘Kwa
hiyo wakata mkaa ni jina jipya tulilokuja nalo lakini ni wale wale Tmk
Wanaume Family lakini tumewaongeza watu wengine ambao ni rafiki zetu
kama Madee,Julio ingawa utawasikia watu wengine wakiwemo Watangazaji pia
wakiwa wanawakilisha Wakata Mkaa.
No comments:
Post a Comment
paulmkale