Shabiki Zari kuwa na ujauzito, ina maana Diamond na Zari walifanya ngono bila kinga,walipima na walijuana kwa muda gani ?
Kupitia info za mashabiki, Shabiki wa Diamond ametuma mtazamo wake kuhusu issue ya Diamond na Zari kutegemea mtoto na kusema.
“Sijawahi kuona mastaa hawa wakiwa
hospitalini au kwenye kituo chochote wakipima afya zao, ukizingatia ni
watu wakuweka hadharani mambo yao yote basi hata kupima wangeweka
instagram au huko twitter “
” Ni vizuri staa kuzaa na staa mwenzake
ila Diamond ana muda wa kuwa baba? mahusiano yake mengi ni kiki au
drama a,bazo hata Kwa Zari tuliyedhani itakuwa tofauti kumbe ni yale
yale, mimi ni shabiki tu ila nawatakia kila la heri kwenye familia yao
wanayoanzisha ”
Shabiki alimaliza hivyo.Upi mtazamo wa juu comment za huyu shabiki ?
No comments:
Post a Comment
paulmkale