Shabiki Zari kuwa na ujauzito, ina maana Diamond na Zari walifanya ngono bila kinga,walipima na walijuana kwa muda gani ?

Kupitia info za mashabiki, Shabiki wa Diamond ametuma mtazamo wake kuhusu issue ya Diamond na Zari kutegemea mtoto na kusema.
Sijawahi kuona mastaa hawa wakiwa hospitalini au kwenye kituo chochote wakipima afya zao, ukizingatia ni watu wakuweka hadharani mambo yao yote basi hata kupima wangeweka instagram au huko twitter

Ni vizuri staa kuzaa na staa mwenzake ila Diamond ana muda wa kuwa baba? mahusiano yake mengi ni kiki au drama a,bazo hata Kwa Zari tuliyedhani itakuwa tofauti kumbe ni yale yale, mimi ni shabiki tu ila nawatakia kila la heri kwenye familia yao wanayoanzisha

Shabiki alimaliza hivyo.Upi mtazamo wa juu comment za huyu shabiki ?

No comments:

Post a Comment

paulmkale