Yusup Mlela na Esha Buheti kutia timu Marekani kwa ajili ya Kufanya Filamu
Esha Buheti amesema kuwa yeye na Yusuf mlela wamepata nafasi ya
kwenda Marekani kufanya filamu. Steve Nyerere aliandika Instagram “Nawatakia
safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu
ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua
wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama.
Hahahahaha.alianza wastara . Mona . Sasa zamu yenu mlela na Esha
mkatuwakilishe vyema . USA .
No comments:
Post a Comment
paulmkale