Ngoma mpya ya Shetta akiwa kashirikiana na KCEE 'Shikorobo' kutoka kesho


Kupitia account yake ya Instagram mwimbaji *Shetta* ameeleza namna alivyokuwa anaisubiri kwa hamu siku ya kuachilia ngoma hiyo. Ameandika haya "*Leo ni jumatatu tunashinda kesho Alafu ile jumatano sasa kesho kutwa tarehe 25/3/2015 mzigo huu ambao hata mimi nilikua nasubiri kwa hamu utoke ndio unatoka sasa utapata kusikia na kuona kwa macho yako nikimaanisha Video na Audio kwa pamoja.

No comments:

Post a Comment

paulmkale