Kaa Tayari;Lady jay Dee Kuja na Ngoma mpya

Lady Jay Dee anatarajia kuachia ngoma mpya tarehe Tar;10 April.Ngoma hii itafanyika Africa Kusini na itatoka audio pamoja na video.Ndani ya ngoma hiyo kuna wakali kibao kama Mazet wa Mina Nawe pamoja na Uhuru.

No comments:

Post a Comment

paulmkale