Picha 10 ya kilichofanyika studio kati ya Alikiba na Sauti Sol

Usiku wa kuamkia tarehe 19, August 2015, jijini Nairobi nchini Kenya, historia mpya imetengenezwa katika kiwanda cha muziki wa Afrika Mashariki. Wasanii wa Kenya Sauti Sol na mwanamuziki kutoka Tanzania, Alikiba wamekamilisha wimbo wao wa pamoja waliotangaza kuufanya wiki kadhaa zilizopita. Alikiba akiwasilia studio na team yake tayari kuanza kurekodi na Sauti Sol

Alikiba akisalimiana na wasanii wa Sauti Sol

 
Alikiba na Bien wa Sauti Sol wakizungumza
 
 
Kundi zima la Sauti Sol kwenye picha ya pamoja na Alikiba

 
  
  
  

No comments:

Post a Comment

paulmkale