Diamond Platnumz,Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wang’ara kwenye tuzo za AFRIMMA,orodha ya washindi iko hapa

Tuzo za mwaka 2015 za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) zimefanyika Dallas, Texas nchini Marekani
Diamond Platnumz ndio msanii aliyeshinda tuzo nyingi zaidi,kashinda tatu, rapa kutoka Africa kusini alifata kwa kushinda mbili.
Hii ni orodha ya washindi.
Best Male (South Africa) – AKA
Best Male (East Africa) – Diamond Platnumz
Best Male (Central Africa) – Yuri Da Cunha
Best Male (West Africa) – Davido
Best Female (East Africa) – Vanessa Mdee
Best Female (West Africa) – Yemi Alade
AFRIMMA Inspirational Song – Bracket feat. Tiwa Savage and Diamond Platnumz for ‘Alive’
Best DJ (US) – DJ Simplesimon
Best Newcomer – Ommy Dimpoz
Best Collaboration – AKA feat. Da Les and Burna Boy for ‘All Eyes on Me’
Best Dance Video – Diamond Platnumz for ‘Nana’
Best Video – Wizkid for ‘Ojuelegba’
Artist of the Year – Diamond Platnumz
Legendary Award – Yossou N’Dou

No comments:

Post a Comment

paulmkale