Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..

Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !!Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi yake ya Christmas atashare na Wana-Dar es Salaam wa nguvu.. zawadi yenyewe ni show ya nguvu pale Escape 1, mzigo wake utakuwa nonstop kwenye stage yeye pamoja na bendi yake.

No comments:

Post a Comment

paulmkale