Video ya Diamond Platnumz ‘Ntampata Wapi’ sasa ni hit kwenye kituo cha kimataifa.

Video ya mwisho kutoka kwa Diamond Platnumz inazidi kufanya vizuri kwenye vituo vikubwa vya kimataifa. Video ya ‘Ntampata Wapi’ imepata nafasi ya kuchezwa kwenye kituo cha Trace Urban cha Ufaransa,  bado imeendele kwenye kipendele cha SmashHit  ikiwa ni sehemu ya kucheza video kali tu.

No comments:

Post a Comment

paulmkale