Anne Kansiime kuwasili jijini Dar July 31

Mchekeshaji Anne Kansiime anatarajiwa kuwasili July 31 jijini Dar es Salaam tayari kwa burudani kali hapo August 2 kwenye ukumbi wa Golden Tulip.Mkali wa huyo wa kuchekesha na sanaa za majukwaani Afrika Mashariki, atawasili majira ya saa kumi jioni kwa ndege ya shirika la Rwanda.

Anne anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari hapo Ijumaa saa tano kamili asubuhi kwenye ukumbi wa Sports Lounge uliopo Posta, na jumamosi atasalimiana na mashabiki katika viwanja vya Mlimani City.

Burudani ya hiyo ya Anne, ambayo itasindikizwa na Fredi Omondi kutoka Uganda na Pilipili wa Tanzania, huku ikinogeshwa na bendi ya ODAMA, imeandaliwa na kituo cha Radio


No comments:

Post a Comment

paulmkale