TEAMTZ- Everything Exclusive

Bob Junior kwenda Uganda kukamilisha collabo aliyofanya na Jose Chameleone

Bob Junior ni miongoni wa wasanii wa Bongo ambao wamepata bahati ya kufanya Collabo na msanii mkubwa wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla, Jose Chameleone wa Uganda.Bob Junior ambaye ni mwimbaji na producer wa Sharobaro Records ameiambia Sammisago.com kuwa amefanya kazi na Chameleone alipokuja hapa Tanzania, lakini wimbo huo utamaliziwa nchini Uganda.

“Nimerekodi kazi na Chameleone,itafanyiwa final mixing nchini Uganda na producer wake, jina la wimbo sita weka wazi sasa ila wimbo nimeandika sehemu yangu na Chameleone ameandika yake,Utatoka mwezi wa kumi mwaka huu”. Amesema Bob Junior.

Ameongeza kuwa anatarajia kwenda Uganda kuikamilisha kazi hiyo.

“Naenda Uganda wiki ijayo kuikamilisha kazi na sijamlipa Chameleone pesa yeyote ila tutafanya kazi kwa mkataba kuanzia sasa, sisi ni Business Partners”.

Wiki iliyopita Chamelione alikuwepo Tanzania ambapo alifanya show Club Maisha ya Dar es salaam siku ya Ijumaa na kesho yake Jumamosi alikinukisha Dodoma.

By soweto at August 05, 2014
Labels: NEWS

No comments:

Post a Comment

paulmkale

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Social Counter

  • facebook count=3.5k;
  • twitter count=1.7k;
  • gplus count=735;
  • youtube count=2.8k;
  • pinterest count=524;
  • dribbble count=7.3m;
  • instagram count=849;
  • rss count=286;

Facebook

Menu

  • Home
  • About Us
  • Contact Us

Social Media Icons

  • facebook
  • twitter
  • dribbble
  • instagram
  • behance

Main Menu

  • AUDIO
  • VIDEOS
  • ENTS

Breaking News

Feat

Carousel

ads

Social Media Icons 2

  • facebook
  • twitter
  • dribbble
  • instagram
  • behance

Popular Posts

  • New Music: Ney Lee - Sophia Remix/Download
  • Mirror_-Acha Niende[NEW AUDIO]@Paulmkale
  • Music : Rich Mavoko - Usikatae/Download
  • Barnaba _-Mama Vanessa[NEW AUDIO]@paulmkale

Recent Posts

Loading...
Simple theme. Theme images by luoman. Powered by Blogger.