JUX,Kuachia Ngoma Mpya Iitwayo"SISIKII"Ambayo Ameandikiwa Na Mabeste

Mabeste ni rapper anayefahamika kwa uwezo wake mkubwa kiuandishi lakini kitu ambacho wengi hawakifahamu ni kuwa hitmaker huyo wa ‘Baadaye Sana’ ni producer na mwandishi mzuri wa nyimbo. Katika kuthibitisha hilo, msanii huyo wa zamani wa B’Hits ameuandika wimbo mpya wa Jux unaotoka leo, Sisikii.







No comments:

Post a Comment

paulmkale