kama ni mfatiliaji mzuri wa muziki na wasanii wetu utakumbuka kuwepo kwa
bif kubwa kati ya Diamond na mkongwe Q chief baada ya Q kudai kuwa..>
Diamond anatembelea nyota yake (anamloga).
Good news ni kwamba bif hilo limekwisha na Diamond amempa ofa ya
kumlipia Q chief audio pamoja na video ili atusue maana ni msanii ambae
anaemkubali.
"Q Chief namkubali sana, anajua sana kuimba, ana miziki ambayo
watanzania wanaipenda sana lakini sifaham tatizo ni nini siwezi kujaji,
lakini
sikuzote natamani, kuna kipindi lani nishawahi
nilikua nipo na
prof jay nakumbuka nilikuwa niko uingereza nikamwambia ukikutana nae
zungumza nae mwambie mi ntamlipia video na audio akashoot akafanye ngoma
ambayo naamini atatusua, lakini bahati mbaya sijui ikawaje kawaje
ikaishia hivyo.Ni mtu ambae natamanigi nisikie ngoma zake kila
dakika...." amesema DiamondQ chief nae alikuwa na haya ya kusema
''Mimi nataka nikwambie kitu kimoja, Diamond ni mdogo wangu ambae
nampenda, napenda mziki wake, halafu hakuna msanii katika historia hii
ambae amefika hata MTV au BET, yule mtoto amenishangaza amefika ni
kwamba mimi mwenyewe am inspired by him, nikwamba wakati mimi
namzungumzia yeye nyinyi mlikuwa hamuelewi, nasema ukweli kwamba
Diamond ni msanii wa kuigwa hata Alikiba nae alipata nafasi lakini
pamoja na kwamba anarudi anafanya vizuri lakini anahitaji kufanya nae
kazi na mi nahitaji kufanya nae kazi. Diamond ni msanii wa kuigwa, mi
staki matatizo na Diamond i ove him i like him as a brother, kwahiyo mi
nampenda yul dogo..." amesema Q Chief.
No comments:
Post a Comment
paulmkale