Wema na Penny waweka tofauti zao pembeni baada ya kupatanishwa

Muigizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu na mtangazaji Penny Muingila wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda sasa (chanzo kikiwa ni mapenzi na Diamond) baada ya kupatanishwa na wanaemuita dada yao "*Junaitha Pemba*" siku ya jana. Upatanisho wa wawili hao umefanyika siku ya jana pale ambapo Junaitha alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa katika moja ya hoteli za kifahari jijini

. Penny. Junaitha na Wema Sepetu its more about music industry and social issues in and out of bongo land

No comments:

Post a Comment

paulmkale