Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond
Wasanii mbalimbali wakubwa na wadogo wameendelea kumpongeza Diamond
Platnumz kwa ushindi mkubwa alioupata Jumamosi iliyopita baada ya...>
kunyakua tuzo tatu za Channel O (CHOAMVA).
Kupitia Instagram Mwana FA ameandika jinsi anavyouchukulia kwa uzito
ushindi huo wa Platnumz pamoja na ushauri wake kwa makampuni na wadau
katika kuwekeza kwenye muziki.“Sawa…nilikuwa nangoja woooote mmalize ili mnisikilize sawa..
Sidhani kama tumeelewa vizuri haya matokeo ya Chanel O Video Music
Awards safari hii..ni kuwa,nyota wetu ana awards 3,three,thalatha,hizi
️️️,na nyota wa wapopo hana yeyote..zero..nil..mikono mitupu…….
Msiliangalie juu juu hili..Africa imeona..aliyebaki haamini kuwa tuna
vipaji vikubwa na vingi kuliko wapopo abaki na uchimba chumvi wake…
Makampuni,wadau,na kila aliye kwenye nafasi,bila kujali kwa ukubwa
gani,tusaidieni kuufanya mziki wetu mkubwa..makampuni yanayofanya
biashara zake na waTanzania yawekeze kwa wasanii wa kiTanzania..kama
nchi tunahitaji hiyo kupita mnavyodhani..its a win win
situation,tunaweka kwa wasanii wetu,tunakuza mziki wetu,tunatunza na
kuthamini vipaji vya watu wetu na tunasaidia uchumi wetu kukua kila
mmoja kwa nafasi yake..kwa namna moja ama nyingine waTanzania mnaowauzia
huduma na/ama bidhaa zenu watapata kupitiwa na hizo fedha
mnazozipitisha kwa wasanii wao..na nchi itapata kodi yake..sio win
win??ni nini then?acheni kutorosha hela zetu,hamfanyi biashara zenu na
wapopo,mnafanya na waTanzania..msichukue hela kwa waTanzania then muwape
wapopo..warudishieni waTanzania hela zao,WANASTAHILI..
Anyway,nimepaniki nikaamua kufungua upan
No comments:
Post a Comment
paulmkale