Soma Alichokiandika Msanii AliKiba Juu ya Watoto Wake.

"Nawapenda sana watoto wangu! Kingine ambacho kinabeba na kita endelea kubeba uzito kwenye maisha yangu ni familia yangu na hasa watoto wangu. Wananipa FURAHA sana.

Inshaallah Mwenyezi Mungu awalinde siku zote, Amin
Una lipi la kumwambia Kiba hapo?

No comments:

Post a Comment

paulmkale