Mapenzi ya Diamond Na Zari yameanaza kuingia vikwazo kutoka kwa watu wenye nguvu
Katika
Hali ya Kushangaza Jana kwenye Mitandao hasa Instagram aliibuka mtu
anayejiita Kinglaurenc ambae inasemekana ni rafiki wa Baba watoto wa
Zari Akimtaka Mwanamuziki Diamond Kupokea Dola za Kimarekani elfu 40,000
ili amwache Zari Akalee Watoto Wake..

Hii
imekuja baada ya Zari muda wote kuonekana kuzunguka na Diamond katika
Show zake huku akiwaacha watoto wake na baba yao South Africa.Je wewe Mdau Unamshaurije? Achukue na
kuachana na Zari ama Apotezee?



No comments:
Post a Comment
paulmkale