Kaa Tayari;Izzo B kuja na ngoma mpya"KIDAWA"Aliyomshilikisha Shaa
Rapper kutoka Green City Mbeya, Izzo Bizness, anatarajia kuachia ngoma yake
ya kwanza kwa mwaka huu. Izzo amesema ngoma hiyo iitwayo ‘Kidawa itawagusa
wengi na pia kubadili mahusiano mengi ya kimapenzi. Akiongea na E-News ya
EATV, Izzo alisema: Hii inakuwa rekodi ya kwanza kwangu kusimamiwa chorus
na nyota wa kike ambaye ni Shaa.Ungana nami kupata video kidawa ya Izzo B wakiwa na mwadada Shaa, inayotarajiwa kuachiwa hivi karibuni@paulmkale
No comments:
Post a Comment
paulmkale