Jana msanii Rich Mavoko aliweka picha kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonyesha akisign dili la kuwa Balozi wa Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF, Rich amesema amechaguliwa kuwa Balozi wa Shirika hilo nafasi ambayo ameipata baada ya kuonekana akiwa na chui kwenye video ya wimbo ‘Pacha Wangu’.

Rich Mavocco akisign mkataba huo


No comments:
Post a Comment
paulmkale