Wawili hawa walishelekea Valentine’s Day kwa kishindo Africa Mashariki(Picha)
Ulisherehekea vipi Valentine’s Day?
Well, Diamond Platnumz na msanii wa Kenya, Akothee waliisheherekea in a
big way. Diamond, Zari, Wasafi and beach life Diamond Platnumz aliitumia
siku hiyo muhimu kuwa karibu na mpenzi wake Zari The Bosslady kwa
kumpeleka visiwani Zanzibar kwa mara ya kwanza. Huko alijumuika na timu
nzima ya Wasafi na kutumia kupunga upepo sheedaah
No comments:
Post a Comment
paulmkale