Diamond na Zari wamefunga ndoa ya kimya kimya.
Tuna jibu tofauti na wengi wanavyodhani! Kwa imani ya watu wengi, huenda kuanzia Ijumaa ya leo, Zari ni Mrs Naseeb
rasmi! Apparenty wawili hao wamefunga ndoa kimya kimya ama kuchumbiana –
ofcourse kwa mujibu wa picha aliyopost Diamond kwenye Instagram usiku huu.
“Wakati Mwingine Usiri Unabaraka zaidi…. Alhamdulillahemoji (Sometimes
Privacy has more Blessings… Thank you so Much God,” ameandika Diamond
kwenye insgram yake.
No comments:
Post a Comment
paulmkale