Diamond Platinmz amedhibitisha kuwa ngoma yake aliyofanya na Mr Flavour imekamilika.

Diamond Platnumz kafanya wimbo na Mr Flavour wa Nigeria,Meneja wake kaongea Haya.

Baada ya kufanya wimbo na P Square, msanii Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa video yake aliyofanya na Mr Flavour wa Nigeria imekamilika na imeshapelekwa kwenye kiyuo cha televion cha Kimataifa BET.

No comments:

Post a Comment

paulmkale