Diamond Platinmz kufanya remix ya wimbo wake mpya na Uhuru wa Africa Kusini.

Wimbo na video mpya ya Diamond ft. Mr. Flavour wa Nigeria imekuwa na mapokezi makubwa hata kwa mastaa wakubwa wa Afrika, ambao wamempongeza kwa wingi kupitia mitandao ya kijamii.
Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na member wa kundi la Uhuru la Afrika Kusini ambaye pia ni producer, Dj Maphorisa ambaye amemuomba Diamond afanya nao Remix ya ngoma hiyo.
Dj Maphorisa ambaye ameshatengeneza hits nyingi za wasanii wengi wa Afrika wakiwemo Mafikizolo, Davido, Wizkid na Watanzania kama Linah, Madee, Chege na Temba, amepost comment aliyojibiwa na Diamond baada ya kucomment kwenye post yake ya Instagram na kuandika kuwa Diamond amekubali kufanya naye remix ya wimbo huo.Kupitia mitandao yao walipost hivi-

No comments:

Post a Comment

paulmkale