Video mpya ya Diamond ft. Mr Flavour Kutambulishwa MTV Base leo saa 12 jioni.


Leo hii Diamond Platinumz anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshilikisha Msanii maarufu kutoka nchini Nigeria Mr Flavour"NANA"Ndo jia la wimbo huo.Wimbo huo utatambulishwa rasmi katika kituo cha MTV BASE saa kumi na mbili za jioni.Ngoma hiyo imetayarishwa na Producer Nahreel wa Industry na video imeongozwa na Godfather.

No comments:

Post a Comment

paulmkale