Jux : Usikubali kuombwa hela kwenye Mitandao kupitia jina Langu

Jux ameamu kutoa tarifa kwa mashabiki zake kuhusu watu wanao fungua page na kutumia jina lake, ameamua kundika  post katika page yake ya Facebook ili kuweza kuwa kuwapa tahadhari kuogopa watu wasije kutapeliwa n.k .

Kupitia mtandao wa facebook Jux ameandika:
"Inakuwaje watu wangu kumekuwepo na accounts nyingi humu facebook ambazo zimekuwa zikitumia jina langu kutapeli watu! Please naomba mjue sina account/page yeyote humu FB zaidi ya hii page tu!
Usikubali kuombwa hela(kutapeliwa) kupitia jina langu!
"

No comments:

Post a Comment

paulmkale