Kupitia mtandao wa facebook Jux ameandika:
"Inakuwaje watu wangu kumekuwepo na accounts nyingi humu facebook ambazo
zimekuwa zikitumia jina langu kutapeli watu! Please naomba mjue sina
account/page yeyote humu FB zaidi ya hii page tu!
Usikubali kuombwa hela(kutapeliwa) kupitia jina langu!"
Usikubali kuombwa hela(kutapeliwa) kupitia jina langu!"
No comments:
Post a Comment
paulmkale