‘Baraza limejiridhisha kwamba 
ulikiuka maadili ya kazi ya sanaa kwenye onyesho lako huko Ubelgiji 
makusudi na umekiuka sheria kwenye ibara ya 30 (2) ya katiba ya jamuhuri
 ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa kuvunja maadili ya jamii ya 
Mtanzania hivyo baraza linakusimamisha kujishughulisha na kazi za sanaa 
nchini na nje ya nchi kwa mwaka mmoja, kufanya kinyume na hayo 
kutapelekea kupewa adhabu zaidi pamoja na yeyote utakaeshirikiana nae ‘ – BASATA
BASATA imemfungia Shilole mwaka mmoja, hakuna kufanya muziki
Breaking news zilizoifikia 
 saa nne usiku wa July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) 
ni kwamba baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote 
ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika 
onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya 
wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya 
kitanzania kimaadili‘‘BASATA ilipata habari zako, 
kumbuka pia October 2013 BASATA lilikuonya na ukakiri kwa kuomba msamaha
 tabia yako ya kucheza bila kuzingatia maadili uwapo jukwaani, BASATA 
ilikupa nafasi ya kutoa maelezo kwanini usichukuliwe hatua za kinidhamu 
kwa kitendo chako lakini umekaidi kutoa maelezo yako‘ – BASATA
‘Baraza limejiridhisha kwamba 
ulikiuka maadili ya kazi ya sanaa kwenye onyesho lako huko Ubelgiji 
makusudi na umekiuka sheria kwenye ibara ya 30 (2) ya katiba ya jamuhuri
 ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa kuvunja maadili ya jamii ya 
Mtanzania hivyo baraza linakusimamisha kujishughulisha na kazi za sanaa 
nchini na nje ya nchi kwa mwaka mmoja, kufanya kinyume na hayo 
kutapelekea kupewa adhabu zaidi pamoja na yeyote utakaeshirikiana nae ‘ – BASATA
‘Baraza limejiridhisha kwamba 
ulikiuka maadili ya kazi ya sanaa kwenye onyesho lako huko Ubelgiji 
makusudi na umekiuka sheria kwenye ibara ya 30 (2) ya katiba ya jamuhuri
 ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa kuvunja maadili ya jamii ya 
Mtanzania hivyo baraza linakusimamisha kujishughulisha na kazi za sanaa 
nchini na nje ya nchi kwa mwaka mmoja, kufanya kinyume na hayo 
kutapelekea kupewa adhabu zaidi pamoja na yeyote utakaeshirikiana nae ‘ – BASATA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment
paulmkale