Video: Rais Obama akicheza wimbo wa Sauti Sol Kenya.

Picha ya pamoja ya Sauti Sol na Barack Obama
Rais wa Marekani Obama yuko nchini Kenya kwenye ziara ya siku tatu ambapo pia amekutana na ndugu zake akiwemo dada yake na Bibi yake. Obama ni mcheshi sana na mtu anaependa vituko vya hapa na pale..Katika halfa iliyofanyika leo Kundi maarufu la muziki nchini Kenya Sauti Sol lilipata mualiko maalum kutumbuiza katika hafla hiyo…Obama aliweza kushiriki katika kucheza nyimbo ya Sura yako…hebu cheki video hapa chini….

No comments:

Post a Comment

paulmkale