Wema Sepetu ashindwa vibaya kwenye kura za maoni singida viti maalumu…

Wema sepetu ni mmoja ya wasanii waliochukua fomu ya kugombea ubunge viti maalum singida, Leo ilikuwa ni siku ya upigaji wa kura za maoni ambapo Wema Sepetu amekuwa wa mwisho katika matokeo.

No comments:

Post a Comment

paulmkale