Msemaji wa Kundi la Weusi Niki Wa Pili anaizungumzia ishu hiyo ilivyokuwa: ‘’ Ni dola elfu tatu kwahiyo huwezi kusema kama zimepigwa au ni kwamba G Nako alizipoteza katika mazingira ya kutatanisha tulikuwa kwenye kikao cha wasanii sasa sijui kuna mtu alichomoa au zilikuwa zimedondoka lakini kusema mtu ameiba itakuwa siyo sahihi kwa kuwa hatujui zimepoteaje,’’
G Nako alizwa mill.6 kwenye kikao cha wasanii..
Msemaji wa Kundi la Weusi Niki Wa Pili anaizungumzia ishu hiyo ilivyokuwa: ‘’ Ni dola elfu tatu kwahiyo huwezi kusema kama zimepigwa au ni kwamba G Nako alizipoteza katika mazingira ya kutatanisha tulikuwa kwenye kikao cha wasanii sasa sijui kuna mtu alichomoa au zilikuwa zimedondoka lakini kusema mtu ameiba itakuwa siyo sahihi kwa kuwa hatujui zimepoteaje,’’
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
paulmkale