Cooming Soon New Song: Diamond Platinumz - #Simba

diamond afrimaDiamond kuachia wimbo wa kurap uitwao ‘Simba’Staa wa muziki Diamond Platnumz amejipanga kuachia wimbo mpya wa kurap uitwao Simba. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema wimbo huo utakuwa sio wa biashara bali ni zawadi kwa mashabiki. “Kama Hip Hop ni biashara Diamond amefanya wimbo wa kurap lakini hatujauchulia kama ile biashara.Wimbo umeshaisha bado tu kuuachia,kwa hiyo mashabiki wangu wakae mkao wa kula.

No comments:

Post a Comment

paulmkale