#SimbaKasema, Ngoma ya Diamond na wakali wa Nigeria, P square inatoka muda wowote kuanzia sasa.
Diamond
bado hajasema jina la wimbo huo lakini tayari ameanza kuupigia promo
kwenye mitandao ya kijamii, Kupitia instagram, Diamond ameandika:
“My
People!!!!!!!!! Subscribe to my Youtube Channel now so that you can be
the first one to watch the HIT from SIMBA ft P-SQUARE!!!! (Najua unakiu
kias gani….haya Jiunge na Channel yangu ya YOUTUBE sasa ili uwe mtu wa
kwanza kushuhudia Mshine yangu Mpya Nilowashirikisha P-SQUARE! ) Cc
@peterpsquare @rudeboypsquare #SimbaKaseMa”
Kwa
upande mwingine meneja wake, Sallam ameahidi kuwa muda ambao
Subscribers wa staa huyo kwenye channel yake ya Youtube watafika laki
tano video hiyo itaachiwa muda huo huo, hadi sasa wapo 287,999.
Mashabiki wa staa huyo wameonesha shauku zaidi ya kuupokea mzigo huo mpya wa Diamond Feat. P square.
No comments:
Post a Comment
paulmkale