Kaa Tayari;Nikki Wa Pili Kuja na ngoma yake mpya hivi karibuni

Rapper kutokea kundi la Weusi, Nikki wa pili baada ya kuingia studio kufanya collabo na wasanii sita kwenye single yake mpya akiwemo, Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Vanessa Mdee, na Jux, kupitia ukurasa wake wa Instagram *ameteas* kava ya single hiyo mpya iitwayo SAFARI na kuwahabarisha mashabiki kuwa single hiyo mpya inatarajiwa kuachiwa rasmi tarehe 6 mwezi huu.

No comments:

Post a Comment

paulmkale