Mbwana Samatta alivyopokelewa leo jijini Dar















Mchezaji Bora Afrika Mbwana Samattaleo alizunguuka mitaa ya jiji la Dar kuanzia Hoteli ya Hyatt Regency Kempinsk kupitia samora,shule ya uhuru pale karume msafara ukapinda kawawa road mpaka Morocco ulipopinda tena Alli Hassan Mwinyi, mpaka njia panda ya Kawe Pale Lugalo na kuelekea Old Bagamoyo mpaka Escape One ambapo kulikuwa na hafla fupi ya kumpongeza.

No comments:

Post a Comment

paulmkale