Taarifa Za Kusikitisha Msanii Mwingine Wa Bongo Fleva Kufariki Dunia.

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva Side Boy Amefariki dunia. Akizungumza na Lindiyetu.com mdogo wa marehemu Ally khamisi amesema
yakua kaka yao marehemu Said Salum Hemed amefia Mkoani Lindi katika hospitali ya Nyangao, alikuwa anasumbuliwa na TB YA MIFUPA. Marehemu aliimba nyimbo ya Hujafa Hujaumbika ambayo alimshirikisha BestNaso

No comments:

Post a Comment

paulmkale