Jaguar Kuja Bongo Kwa Ajili Ya Irene Uwoya
Kwenye Exclusive Inteview leo, Jaguar anasema anamkubali sana
staa wa filamu kutoka Tanzania Irene Uwoya na kwamba...> toka waonge kwenye
simu amekuwa akijipanga ili aje bongo kumuona. Jaguar pia amesema amealikwa
kwenda nyumbani kwa wazazi wa Irene December mwaka huu Ili kuonana na
wazazi wake kwa sababu ambayo bado hajaweka wazi.
No comments:
Post a Comment
paulmkale