Rekodi aliyoivunja Diamond Platnumz na kuiacha ya P Square
Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao 
kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku..> chache lakini Good 
news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania.
Mmiliki wa hit single ya ‘Mdogo Mdogo’ Diamond Platnumz ameipiku 
video ya wakali wa Nigeria P Square baada ya kupata views nyingi ndani 
ya siku nne.
Video ya P Square  ‘Shekini’  iliyowekwa youtube Nov 17 ina views 
286,165 huku Diamond ambaye  video yake ‘Nitampata Wapi’ iliyoweka Nov 
20 ina views 354,910.
 
 
 
          
      
 
 
            
          
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment
paulmkale