Walichokiandika mashabiki wakati Channel O ikionyesha ‘My Number One’ ya Diamond Platnumz

Mpaka sasa zimebaki siku mbili za kumpigia kura msanii pekee aliyetajwa kuiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za Kituo cha TV, Channel O ‘Channel O Music Video Awards 2014 (CHOAMVA).

Mashabiki wamedhihirisha kuwa hitmaker wa single ya ‘My Number One’ Diamond Platnumz  ndiye msanii anayependwa na kuendelea kupewa support katika tuzo za Channel O Music Video Awards baada ya kituo cha TV cha Channel O kucheza video yake huku mashabiki wakitoa maoni ya kushawishi watu kumpigia kura msanii huyo.

Hii ndio link ya kumpigia kura Diamond Platnumz http://bit.ly/1p896un

No comments:

Post a Comment

paulmkale