Mipango ya kundi la Navy Kenzo mwaka 2015
Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na Nahreel & Aika mwaka 2015 wapo katika maandalizi ya album yao mpya iitwayo Niroge.
‘Kwanza
tuna album yetu inayotwa Niroge tunamaliza soon itakuwa mitaani na vile
vile tutatoa single ambayo itayoitwa Niroge, kwa upande wangu kazi
nyingi zinakuja na, sisi kama Navy
Kenzo tumeshafanya collabo na Navio wa Uganfa ambayo itakuwa kwenye
albam pia tumefanya collabo na Weusi, pia tulikuwa tunataka kufanya
collabo na Tiwa Savage lakini mtu ambaye ana tu represent ndio yuko kwenye katika mazunguko naye‘
No comments:
Post a Comment
paulmkale